Thursday, October 8, 2015

Micosoft yatoa Laptop

Sekunde 90 za kushuhudia Laptop ya kwanza ya Microsoft kwenye muundo wa pekee kabisa… (Pichaz & Video)

By Masogo Ndaro
on
Kwa sababu kila mtu anahitaji kuwa na kifaa kizuri cha Mawasiliano, nimeona kuna umuhimu pia uipate na hii mpyampya kutoka Kampuni ya Kampuni ya Microsoft, Marekani.
Microsoft ni kampuni ambayo imewekeza sana kwenye Teknolojia, walianza na biashara ya kutengeneza program za Computer, baadae wakaendelea kukuza biashara yao… mwaka 2014 Microsoft waliamua kuinunua pia Kampuni ya Nokia na kuendelea na Biashara ya uzalishaji wa Simu.
New York City - October 6, 2015 The Microsoft Surface Book is displayed at the Microsoft Windows 10 Devices Media event in New York City. Credit: Andrew White for WIRED
Kipya kinachokuja ni hii laptop mpya, imepewa jina la Microsoft Surface Book, hii ni zaidi ya laptop ya kawaida, ina uwezo wa kutumika kama Laptop au unaitenganisha alafu inakuwa Ipad… hii itakuwa ya kwanza kabisa kutengenezwa na Kampuni hiyo ya Microsoft.
New York City - October 6, 2015 Panos Panay introduces the Microsoft Surface Book at the Microsoft Windows 10 Devices Media event in New York City. Credit: Andrew White for WIRED
Unaambiwa kama ikijaa chaji ina uwezo wa kufanya kazi mpaka kwa saa 12, mpango walionao ni kuitambulisha na kuiingiza rasmi sokoni kuanzia October 26 2015 na itauzwa kwa Dola 1,499 ambazo zinagusa kama Milioni 3.2.
New York City - October 6, 2015 The Microsoft Surface Book is displayed at the Microsoft Windows 10 Devices Media event in New York City. Credit: Andrew White for WIRED
Ukiangalia hata sehemu inapojikunjia imekaa tofauti na nyingine nyingi tulizowahi kuziona mtu wangu.
New York City - October 6, 2015 The Microsoft Surface Book is displayed at the Microsoft Windows 10 Devices Media event in New York City. Credit: Andrew White for WIRED
New York City - October 6, 2015 The Microsoft Surface Book is displayed at the Microsoft Windows 10 Devices Media event in New York City. Credit: Andrew White for WIRED
Iko na video yake pia hapa kwenye sekunde 96.


No comments:

Post a Comment